MBINU ZA MAFANIKIO KWENYE BIASHARA 1.Fanya kitu unachokipendaa: Hapa unalazimika kuekeza Hela zako, Muda wako , Ujuzi wako ili kujipatia Matokeo Makubwa ya Mafanikio Katika Maisha yako. Usikubali kwenye Maisha yako kufanya kitu ambacho hukipendi, tafuta Biashara ambayo unayopenda kuifanya ili uwenza Leo kuifanya Biashara hiyo. Siri kubwa ya Mafanikio kwenye Maisha ni kufanya Biashara ambayo unaipenda Kwa sababu inakupa nguvu na Hamasa ya kuifanya bila kuchoka. Kwhyo kuanzia Leo kaa Chini ujiulize ni Biashara gani ambayo ninaipenda kuifanya , baada ya Kupata jibu ndio jipangie siku ya kuanza kuifanya Biashara yako . Jitahidi usichelewe kuanza Biashara yako kwani Ukichelewa kuanzisha Biashara yako ndio unachelewa kufanikiwa . Anza Leo ili Ufanikiwe Leo. 2.Fanya kazi Kwa bidii: * Katika Biashara bidii inahitajika sana ili kufanikiwa Katika Maisha yako. Unatakiwa kujitowa, kujituma Usijionee huruma wakati unatafuta Mafakio, jionee huruma kawann sijapata Mafaniko. Wakati wa kutaf...