JINSI YA KUPIKA SKONZI LAINI NA TAMU
jinsi ya kupika skonzi laini na tamu:
Vipimo:
✳️Unga -; 4 Vikombe vya chai
✳️Sukari -; 4 vijiko vya chakula
✳️Chumvi - 1 Kijiko cha chakul
✳️Hamira - 1 Kijiko cha chakula ✳️Siagi - ¼ Kikombe cha chai
✳️Maziwa -; 1 ½ Vikombe vha chai(siyo lazima unaweza tumia maji pia
🔹Yai; 1 Moja
🔹Ufuta Kiasi ya kunyunyizia juu . .
💟Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
☑️Katika bakuli changanya vipimo vyote isipikuwa ufuta.
☑️Kisha ukande unga huku unanyunyizia unga ukiwa unashika
☑️Funika mchanganyiko na weka pahali penye joto hadi iimuke.Halafu fanya viduara na viweke kwenye treya ya kuchomea iliyopakwa siagi.
☑️Ziache mahali penye joto hadi zimuuke kwa mara ya pili.
☑️Washa oveni moto wa 350°.Pakiza (brush) Yai uliopiga au maziwa juu ya vile vidonge kisha nyunyizia ufuta juu.
☑️Kisha vumbika kwenye oveni kwa muda wa dakika 15 hivi au kama unatumia jiko la mkaa palia kama upaliavyo wali chini acha moto; kidogo na juu weka mfuniko wenye makaa ya moto na kaa dakika 20 hivi kisha chungulia kama zimekua za brown na kugeuka rangi zitakuwa tayari kuliwa.
Maoni
Chapisha Maoni